Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanasubiria hasira za mwalimu zikolee vizuri.

Alafu usimtishe Depal bana. Siku mkiwa wageni wangu ntapika kama tuko shereheni.

Kazi ni kwenu!!![emoji846]
@Depal hatishiki! Angelikua mhadhari, ogopa sana asijepeana hotuba ya zaidi ya 3hrs kuhusu swala hili zima!

Swali la kwanza atakalouliza...

Sherehe itakua yetu sote au bado utabaki na vipimo vyako vya kawaida?
Utamu wa sherehe ni kufurahia wote. Sio mmoja kajipea mipaka, vikomo na vipimo
 
Tunafanana na huyo mwamba [emoji28][emoji28]

Usiku nakula ila a very small portion ...maana nikila sana usiku huwa nikiamka asubuhi nakuwa na njaa sana.... but nikila kidogo usiku...asubuhi naamka kawaida tu sasa sijui hii kitaalamu inaitwaje
Jaribu upunguze carbohydrates (starch and sugar) usiku. Ugali, mihogo, viazi nk. Don't overeat. Kunywa maji ya kutosha.


Utaona mabadiliko kwa kiwango kikubwa.
 
Kihembe nboga ya Dengu nazi... Mchicha una mchunga kwa mbaali
20230426_125815091.jpg
 
Back
Top Bottom