Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahindi tu unamix na sembe kama Kawa.Mahindi Kande?
Exactly 💯💯Dinner
Exactly [emoji817][emoji817]
Hahaha. Mwendo wa kujaza mi mboga tuIla iyo nguna umeifunika mnoo bila kuzoom nilihis sijui unakula vitu gan vile[emoji2]
Hahaha. Mwendo wa kujaza mi mboga tu
Nguna inateleza tu [emoji475][emoji475][emoji475]. Kwenye ulimi [emoji16]
Tena mi bado kijana mbichi magonjwa yatanipita tu hivi 👉👉👉👉👉Uhakika mkuu apo kweny kuona mbali ni kugusa tu haina haja ya miwani
Haiya bas!😀😀😀
Usually happens when I have a late lunch after skipping breakfast.
Kwanini???Unafanya kazi UN?
Where your lunch 📸 at???Haiya bas!
Patia "late lunch" simu tuongee na yeye😁😁
Unaishi kama ikulu ndogoKwanini???
Hataa...kawaida tu.Unaishi kama ikulu ndogo
Shafika bi mkubwa portion yetu ileile🍕