Mie nakula
Portion yake itaniamsha usiku wa manane, nianze kumkosoa fundi mjenzi.
Tukimtembelea itabidi apike pilau, kwenye pilau uwa anapika chakula kingi.
Noodles na mayai[emoji846]View attachment 2599548
Hizo ni tambi au noodles?Noodles na mayai[emoji846]View attachment 2599548
π€£π€£π€£ wanasubiria hasira za mwalimu zikolee vizuri.Hivyo vipande vitatu...
Kidogo mbona ni kama wanafunzi watatu watukutu ambao wameambiwa waondoke nje ya darasa wasubiri mwalimu mkuu?
πDelicious, ila kidogo ππ
Hapo ukiamka unaamka na njaa kali
Ni Spaghetti hizo ila mi naita noodles[emoji28][emoji28]Hizo ni tambi au noodles?
Tambi - spaghetti, zile mf za St Lucia/ Mo
Noodle- vinauzwa supermarket viko parked na flavor,( nyama/ kuku
Ishhhh! Nyie ndio mnataka mtu akimaliza kusonga ugali hamu ya kula hana kwa maumivu ya mkono sio? π₯΄Na inabidi uingie jikon usonge ugali maana huo ugali wasukuma sisi ni mbichi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisa huo ugali wako ni uji ππ sie tunasonga sanaa na unakuwa mgumu mgumuIshhhh! Nyie ndio mnataka mtu akimaliza kusinga ugali hamu ya kula hana kwa maumivu ya mkono sio? π₯΄
Wewe hupendi kula asubuhi ila mimi sipendi kula usiku naona kama nakula hasara maana nakula then nalala afu asubuhi nikiamka nakua na njaa kinoma[emoji28][emoji4]
You can't imagine huwa sisikii njaa asubuhi na ndio maana mara nyingi huwa na-skip breakfast. Siku nikila ni kuanzia saa nne kwenda mbele.
usiseme dagaa sema watoto wa samakiKumbe tambi na dagaa wanapanda?
Eti unakula hasara π€£π€£π€£π€£π€£Wewe hupendi kula asubuhi ila mimi sipendi kula usiku naona kama nakula hasara maana nakula then nalala afu asubuhi nikiamka nakua na njaa kinoma[emoji28]
I prefer heavy a breakfast and lunch
Tunafanana na huyo mwamba [emoji28][emoji28]Eti unakula hasara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha siku moja tulikuwa tumesafiri mshkaji mmoja akakataa kulala kwenye hotel nzuri kwasababu ya bei. Wakati tunapiga story akatuambia kutoa hiyo hela sio shida, shida ni kwamba atakosa usingizi akeshe akiiwaza, so what's the point.
But if we are being honest, ni afya zaidi unavyofanya wewe.
Basi sie tunaokula usiku, asubuhi uwa hapakaliki vizuri ππ
You can't imagine huwa sisikii njaa asubuhi na ndio maana mara nyingi huwa na-skip breakfast. Siku nikila ni kuanzia saa nne kwenda mbele.
Tutalala kweli? [emoji1787][emoji16]Mie nakula
Portion yake itaniamsha usiku wa manane, nianze kumkosoa fundi mjenzi.
Tukimtembelea itabidi apike pilau, kwenye pilau uwa anapika chakula kingi.
[emoji1787][emoji23]Na inabidi uingie jikon usonge ugali maana huo ugali wasukuma sisi ni mbichi [emoji23][emoji23][emoji23]