Kidogo tu, ya kushtua umaskini ππKwani lazima mpendeze sana???π
Ukipata changamoto ya picha kutokufunguka: ndizi mbivu 1 na tubiskuti pc 2 ππ
Yan tuigawane hiyo moja?
Ziko za kutosha!!!Yan tuigawane hiyo moja?
Andaa nyingine, nakuja na juice yangu View attachment 2602784
Afya tupu
π tunagawana hiyo hiyoZiko za kutosha!!!
Juice ongeza na nyingine usije ukaishia kula chapati kavu. π
Yani nimekipania...π€€π€€Kibua cha nani π
Pika wali mwingi sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani nimekipania...[emoji1786][emoji1786]
Wali kesho maana gas imenikimbia wakati napika mboga. Nahisi nikiupika kwenye umeme unaweza kuwa uji.[emoji3061]
Kibua kitamu, shida tumifupa jamaniYani nimekipania...π€€π€€
Wali kesho maana gas imenikimbia wakati napika mboga. Nahisi nikiupika kwenye umeme unaweza kuwa uji.π₯΄
Ukagoma kutupikia wali π
Leo unatupikia nini [emoji39]Ukagoma kutupikia wali [emoji16]
Makande πLeo unatupikia nini [emoji39]