Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kidogo tu, ya kushtua umaskini 😂😂Kwani lazima mpendeze sana???🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo tu, ya kushtua umaskini 😂😂Kwani lazima mpendeze sana???🙄
Ukipata changamoto ya picha kutokufunguka: ndizi mbivu 1 na tubiskuti pc 2 😂😂
Yan tuigawane hiyo moja?
Ziko za kutosha!!!Yan tuigawane hiyo moja?
Andaa nyingine, nakuja na juice yangu View attachment 2602784
Afya tupu
😂 tunagawana hiyo hiyoZiko za kutosha!!!
Juice ongeza na nyingine usije ukaishia kula chapati kavu. 😋
Yani nimekipania...🤤🤤Kibua cha nani 😍
Pika wali mwingi sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani nimekipania...[emoji1786][emoji1786]
Wali kesho maana gas imenikimbia wakati napika mboga. Nahisi nikiupika kwenye umeme unaweza kuwa uji.[emoji3061]
Kibua kitamu, shida tumifupa jamaniYani nimekipania...🤤🤤
Wali kesho maana gas imenikimbia wakati napika mboga. Nahisi nikiupika kwenye umeme unaweza kuwa uji.🥴
Ukagoma kutupikia wali 😁
Leo unatupikia nini [emoji39]Ukagoma kutupikia wali [emoji16]
Makande 😋Leo unatupikia nini [emoji39]