Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supu tena ya kuku ilivyo tamuYaani napata shida sipendi supu na mamichuzi basi tuu.
Supu tena ya kuku ilivyo tamu
Blueband ungeweka 200gAnna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
View attachment 2617158
View attachment 2617159
View attachment 2617160
Kwa macho tu Blueband imezidiAnna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
View attachment 2617158
View attachment 2617159
View attachment 2617160
Sawa shukran ijumaa nitapika tena vinegar naweka kiasi gani?ukiweka vinegar na baking poda unaweka pia ?Blueband ungeweka 200g
Unga 300
Hapo Blueband imezidi ndo maana inaonekana Ina mafuta.
Jaribu tena,
Sukari 80g
Siagi(Tumia prestige) 130g
Unga 200g
Mayai 4
Ukitaka kuweka maziwa basi weka maziwa fresh
Recipe Yake ni tofauti.
Ukitaka kuweka maji,sishauri uweke maji ya kawaida..
Instead weka vinegar.
Nb;Ukitumia vinegar basi usiweke maji au maziwa..
Unga nimeweka mdogo 😂😂 next time nitajitahidiKwa macho tu Blueband imezidi
Mafuta yako.
250g ya Blueband no nyingi sana.
Inatakiwa isiweke mafuta kama hivi View attachment 2617172
Maziwa weka maziwa freshAnna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
View attachment 2617158
View attachment 2617159
View attachment 2617160
Baking powder ni compulsory kwa kweli yoyote ile.Sawa shukran ijumaa nitapika tena vinegar naweka kiasi gani?ukiweka vinegar na baking poda unaweka pia ?
Fuata hizo recipe nimekupa.Unga nimeweka mdogo [emoji23][emoji23] next time nitajitahidi
Sawaaa nimekuelewaBaking powder ni compulsory kwa kweli yoyote ile.
Bila baking powder hakuna keki.
Inasaidia kuumusha na mulainisha keki.
Vinegar Mimi huwa naweka mwisho kabisa,,,nikiona mchanganyiko wangu mzito sana ndo naweka.
Huwa sizingatii kiasi,,naweka hadi ntakapoona mchanganyiko upo sawa
Baking powder tafuta ya Zesta au Tiara.Sawaaa nimekuelewa
Sawa sawa asanteeBaking powder tafuta ya Zesta au Tiara.