Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

FB_IMG_1683651270025.jpg
 
Supu tena ya kuku ilivyo tamu

Anna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
IMG_9023.jpg

IMG_9018.jpg

IMG_9016.jpg
 
Anna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
View attachment 2617158
View attachment 2617159
View attachment 2617160
Blueband ungeweka 200g
Unga 300

Hapo Blueband imezidi ndo maana inaonekana Ina mafuta.


Jaribu tena,

Sukari 80g
Siagi(Tumia prestige) 130g
Unga 200g
Mayai 4


Ukitaka kuweka maziwa basi weka maziwa fresh
Recipe Yake ni tofauti.


Ukitaka kuweka maji,sishauri uweke maji ya kawaida..
Instead weka vinegar.

Nb;Ukitumia vinegar basi usiweke maji au maziwa..
 
Anna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
View attachment 2617158
View attachment 2617159
View attachment 2617160
Kwa macho tu Blueband imezidi
Mafuta yako.

250g ya Blueband no nyingi sana.
Inatakiwa isiweke mafuta kama hivi
IMG_20230510_161736_825.jpg
 
Blueband ungeweka 200g
Unga 300

Hapo Blueband imezidi ndo maana inaonekana Ina mafuta.


Jaribu tena,

Sukari 80g
Siagi(Tumia prestige) 130g
Unga 200g
Mayai 4


Ukitaka kuweka maziwa basi weka maziwa fresh
Recipe Yake ni tofauti.


Ukitaka kuweka maji,sishauri uweke maji ya kawaida..
Instead weka vinegar.

Nb;Ukitumia vinegar basi usiweke maji au maziwa..
Sawa shukran ijumaa nitapika tena vinegar naweka kiasi gani?ukiweka vinegar na baking poda unaweka pia ?
 
Anna niambie nimekosea wapi nilipika cake ya robo sasa nilitakiwa niweke vikombe viwili vya unga mi nikaweka kimoja
Blueband 250g
Mayai manne
Unga robo (je nilitakiwa niweke wote maana kama mafuta yamezidi hivi [emoji23][emoji23]
Hivi kaka unaweka maji au maziwa yawe ya uvuguvugu ??
View attachment 2617158
View attachment 2617159
View attachment 2617160
Maziwa weka maziwa fresh
Ya baridi.


Recipe ya keki iliyowekwa maziwa tumia hii
2eggs
200g unga
150g sukari
Maziwa robo kikombe
Vinegar Nusu kijiko
Ladha
Baking powder kijiko Cha chai kimoja.
 
Sawa shukran ijumaa nitapika tena vinegar naweka kiasi gani?ukiweka vinegar na baking poda unaweka pia ?
Baking powder ni compulsory kwa kweli yoyote ile.
Bila baking powder hakuna keki.

Inasaidia kuumusha na mulainisha keki.


Vinegar Mimi huwa naweka mwisho kabisa,,,nikiona mchanganyiko wangu mzito sana ndo naweka.
Huwa sizingatii kiasi,,naweka hadi ntakapoona mchanganyiko upo sawa
 
Baking powder ni compulsory kwa kweli yoyote ile.
Bila baking powder hakuna keki.

Inasaidia kuumusha na mulainisha keki.


Vinegar Mimi huwa naweka mwisho kabisa,,,nikiona mchanganyiko wangu mzito sana ndo naweka.
Huwa sizingatii kiasi,,naweka hadi ntakapoona mchanganyiko upo sawa
Sawaaa nimekuelewa
 
Back
Top Bottom