Uzi wa vyakula tu

Asante dear
 
Kama unatumia oven set moto 160(inategemea na oven yako) chini dk45,,keki ikishapanda weka moto wa juu kwa dk 10.

Siku hizi mabaker wanapikia moto wa chini mwanzo mwisho.
Juu anaset mwisho kabisa wakati keki ishaiva ili apate tu ile rangi ya brown.
Nzuri sana ni kiasi gani hii
Hivi oven inatakiwa iwe imeshika sana moto ndio uweke au joto la kawaida tu ndio uweke cake iive
 
Kama unatumia oven set moto 160(inategemea na oven yako) chini dk45,,keki ikishapanda weka moto wa juu kwa dk 10.

Siku hizi mabaker wanapikia moto wa chini mwanzo mwisho.
Juu anaset mwisho kabisa wakati keki ishaiva ili apate tu ile rangi ya brown.
Rangi ya brown inavutia zaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…