Uzi wa vyakula tu

Unashindwaje kukaanga samaki?una deep fryer au karai lile wok. Au hata frying pan.
Piga moto mafuta kutosha dumbukiza humo.
Another tip unaweza kuweka unga wa ngano tu juu juu dumbukiza humo mafutani uone km atavunjika.
 
Unashindwaje kukaanga samaki?una deep fryer au karai lile wok. Au hata frying pan.
Piga moto mafuta kutosha dumbukiza humo.
Another tip unaweza kuweka unga wa ngano tu juu juu dumbukiza humo mafutani uone km atavunjika.
Atakuwa anawakoroga koroga ndio maana wanakatika.

Babu kuna comment nilikuta umecomment sehemu nilicheka balaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na siwezi ikwoti hapa maana tunaweza lamba 🧱
 
Atakuwa anawakoroga koroga ndio maana wanakatika.

Babu kuna comment nilikuta umecomment sehemu nilicheka balaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na siwezi ikwoti hapa maana tunaweza lamba 🧱
Unajua tena Depal tunapunguza stress tu JFπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…