Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi sio mpishì sana ila hata mimi iliwahi nitokea. Sababu kubwa ni kuwa unawakaanga wakiwa bado na maji maji. Hivyo mafuta yanakuwa saturated (meaning mafuta yana kiasi kikubwa cha hydrogen atoms, ila carbon–carbon double or triple bonds.Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?
Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.
Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.
Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.
Naombeni msaada wenu tafadhali.
Shukran mkuu, huenda hii hoja yako ni kweli kwa sababu huwa nawapitia usiku mida ya saa 2 then nikifika geto nawakaanga bila kuwaanika kwa sababu muda huo hakuna jua.Mkuu mimi sio mpishì sana ila hata mimi iliwahi nitokea. Sababu kubwa ni kuwa unawakaanga wakiwa bado na maji maji. Hivyo mafuta yanakuwa saturated (meaning mafuta yana kiasi kikubwa cha hydrogen atoms, ila carbon–carbon double or triple bonds.
"saturated hydrocarbons" zinakuwa hakuna na kukosa ule uhalisia wa mafuta inakuwa kama unawachemsha.
Next time ukishawaosha waanike watoke maji vizuri kisha wakaange kisha nipe mrejesho.
Sio lazima jua ila hakikisha wanatoka maji ndio uwatupie mafutaniShukran mkuu, huenda hii hoja yako ni kweli kwa sababu huwa nawapitia usiku mida ya saa 2 then nikifika geto nawakaanga bila kuwaanika kwa sababu muda huo hakuna jua.
Next time najaribu kufuata ushauri wako then nitatoa mrejesho.
ingia youtube kjnWakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?
Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.
Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.
Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.
Naombeni msaada wenu tafadhali.
Unapenda vibamia dr
Leo haupo home?
Leo haupo home
samaki wanakuangalia kwa huruma.
Kuliwa wataliwa tu 😁😁Leo haupo home
samaki wanakuangalia kwa huruma.
Cha kwanza samaki ukishawaosha unawaacha kwa muda wachuje maji, cha pili hakikisha mafuta yamepata moto vizuri kabla ya kuanza kuwakaanga na cha tatu ukiwaweka kwenye mafuta subiri wakauke usiwageuze mapema hii itasaidia wasigandie kwenye sufuria na wataiva vizuri.Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?
Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.
Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.
Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.
Naombeni msaada wenu tafadhali.
Shafika bi mkubwa kwa mungu shasali pia hapa njaa tu
Hiki nini?😁
Unaweka wakati mafuta hayajapata moto kisawasawa.Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?
Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.
Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.
Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.
Naombeni msaada wenu tafadhali.