Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

84F3DDED-C846-47A3-B936-F00094356DA9.jpeg
 
Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?

Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.

Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.

Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.

Naombeni msaada wenu tafadhali.
Mkuu mimi sio mpishì sana ila hata mimi iliwahi nitokea. Sababu kubwa ni kuwa unawakaanga wakiwa bado na maji maji. Hivyo mafuta yanakuwa saturated (meaning mafuta yana kiasi kikubwa cha hydrogen atoms, ila carbon–carbon double or triple bonds.
"saturated hydrocarbons" zinakuwa hakuna na kukosa ule uhalisia wa mafuta inakuwa kama unawachemsha.

Next time ukishawaosha waanike watoke maji vizuri kisha wakaange kisha nipe mrejesho.
 
Mkuu mimi sio mpishì sana ila hata mimi iliwahi nitokea. Sababu kubwa ni kuwa unawakaanga wakiwa bado na maji maji. Hivyo mafuta yanakuwa saturated (meaning mafuta yana kiasi kikubwa cha hydrogen atoms, ila carbon–carbon double or triple bonds.
"saturated hydrocarbons" zinakuwa hakuna na kukosa ule uhalisia wa mafuta inakuwa kama unawachemsha.

Next time ukishawaosha waanike watoke maji vizuri kisha wakaange kisha nipe mrejesho.
Shukran mkuu, huenda hii hoja yako ni kweli kwa sababu huwa nawapitia usiku mida ya saa 2 then nikifika geto nawakaanga bila kuwaanika kwa sababu muda huo hakuna jua.

Next time najaribu kufuata ushauri wako then nitatoa mrejesho.
 
Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?

Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.

Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.

Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.

Naombeni msaada wenu tafadhali.
ingia youtube kjn
 
Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?

Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.

Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.

Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.

Naombeni msaada wenu tafadhali.
Cha kwanza samaki ukishawaosha unawaacha kwa muda wachuje maji, cha pili hakikisha mafuta yamepata moto vizuri kabla ya kuanza kuwakaanga na cha tatu ukiwaweka kwenye mafuta subiri wakauke usiwageuze mapema hii itasaidia wasigandie kwenye sufuria na wataiva vizuri.
 
Wakuu habarini za humu jukwaa la mapishi?

Naombeni msaada namna ya kukaanga samaki wabichi, Nimenunua samaki wabichi zaidi ya mara 3 lakin kila nikienda geto kuwakaanga nashindwa naishia kuwatupa.

Huwa nafanya hivi; Huwa nanunua wale samaki wakubwa kisha muuzaji ananikatia mfano vipande vitatu vikubwa na kuwatoa yale magamba na kuwaosha vizuri. Mimi nikifika home huwa naweka mafuta kwenye sufuria kisha nawaweka humo lkn huwa nikiwageuza nakuta wameshikana na sufuria then wanaparanganyika [emoji3] , yaani wanageuka bokoboko.

Je huwa nakosea wapi? Nishawahi pia kujaribu kupika mchemsho lkn yanakuwa ni yaleyale.. samaki wanaparanganyika na kuwa bokoboko.

Naombeni msaada wenu tafadhali.
Unaweka wakati mafuta hayajapata moto kisawasawa.
Otherwise weka kwenye oven.
Hata kuchemsha huwezi aisee.
 
Back
Top Bottom