Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Karibu sanaNi wakati sasa unialike nije kula keki yako nipo mbeya uyole mrembo kabla sijatudi Jiji la matapeli.
Oooh ntakaribia Asante itahitajika shingapi tutoe keki.Karibu sana
Nipo hapa Nsalaga
Kujamba sasa,,, ni kugusa tu button hicho😂😂
Kitimoto yao sasa buku tano na ndizi utakoma.tena ukute wamechomaMe ndio maana napapenda mbeya wali wa buku huo.View attachment 2677169
Kitimoto ya Mbeya ni tamuu mno, naona ipo tofauti sana na maeneo mengne.Kitimoto yao sasa buku tano na ndizi utakoma.tena ukute wamechoma
Sana,wa kienyeji wale nguruwe.Kitimoto ya Mbeya ni tamuu mno, naona ipo tofauti sana na maeneo mengne.
Pembe na Senga, Samia na Ikulu, Apeche na Alolo [emoji846][emoji28][emoji28]kweli na mboga yake yaani wao ni kama pimbi na kingwendu, Aki na Ukwa,Kulwa na Doto,Otimbi na Timbilio,diamond na wasafi kifupi wanamatch sana
Juzi nimekula kilo mbili hapa nnampango nikanunue tena kilo ni tamu balaaa sijui wanaweka niniKitimoto yao sasa buku tano na ndizi utakoma.tena ukute wamechoma
Si tulikua mtu 3 tukuyu hapo, ikawa choma lete kaanga lete,choma lete tunashushia na Bapa.Juzi nimekula kilo mbili hapa nnampango nikanunue tena kilo ni tamu balaaa sijui wanaweka nini