Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
PXL_20230703_162539900.jpg
 
Juzi nimekula kilo mbili hapa nnampango nikanunue tena kilo ni tamu balaaa sijui wanaweka nini
Si tulikua mtu 3 tukuyu hapo, ikawa choma lete kaanga lete,choma lete tunashushia na Bapa.
Tulimla mdudu sijui kilo ngapi mpk tukasahau tunaenda wapi kwa kuvimbiwa😁
 
Back
Top Bottom