Uzi wa vyakula tu

Wanakuwa hawajachina, Ila tu sielewi huwa nakosea wapi.

Mwanzoni niliambiwa moto uwe mkali na mafuta yachemke sana, nilifanya hivyo lakini sijafanikiwa chochote. Samaki wanavunjikavunjika/rojeka, hususan nikiwageuza.
Tafuta mke mkuu
 
Il

Ila hawa wanaouza vyakula wananifurahushaga sana. Hebu check hicho kisosi kilivopasuka na mtu hana haya anakipakulia Kabisaa kumpelekea mteja. Alooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] wanajua wenyewe recreation hapo halafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…