babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mpk naogopa kuingia huko,huyu mpare sijui anafikiria nini?vyakula vingi sana tunavyo hata magimbi weka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli huo mguu unatisha
Wenye kinyaa Cha karibu wanaweza rudisha chenji
Hizi ziko kwenye mitandao ni ghali sanaHaya Ninja Mbona sijayaona yanapatikana kwa nani?
Asante umesema ndio nimefungua huu uzi niongee hiki pia, Mshana Jr nakuomba kaka yangu nyoka, mijusi sijui kenge usiwe unatuwekea humu.Mkuu Mshana tukumbushane hapa,
"Huu uzi wa vyakula tu"
Ww umeuanzisha.
Tokea mwanzo ukaweka panya kwenye mkate nikakosoa,
Kuna wengine wakaweka mende na wadudu wa ajabu nikakosoa,
Sasa tena umeanza kuweka wanyama wa ajabu miguu ya kenge ,mijusi, mnakula kwenu huko?
Panyabuku?Mamba,Nyau pori,
Nyoka
Uliona wapi mtanzania anakula hao wadudu?
Mbona vyakula vingi tu vipo vya kawaida tu.
Uzi umeanzisha mwenyewe unaharibu mwenyewe,
Hapa watu tunakuja na njaa zetu kuja kula,
Hayo matakataka huwa unaweka yaani unatukata stimu kabisa.
Ujinga gani huu unafanya?
Weka hata makande pls,
Sasa njaa yangu yote imekata kwaajili ya wewe umeweka picha mchuzi limguu la mnyama gani sijui,
Inatia kichefuchefu.
Hapa Chakula nashindwa kula tena,upuuzi gani huu.
Nimemununua Dessin from ItalyHizi ziko kwenye mitandao ni ghali sana
Bei inafika laki 7
Nunua tu Hizo silvercrest ni nzuri pia ni brand ya Germany na bei ni rafiki
SureAsante umesema ndio nimefungua huu uzi niongee hiki pia, Mshana Jr nakuomba kaka yangu nyoka, mijusi sijui kenge usiwe unatuwekea humu.
Mimi binafsi huwa nakuwa inspired sana na vyakula vya humu juzi nakula nimefungua uzi nakutana na vyakula vya ajabu niliacha kula na nilipata kichefuchefu na kinyaa kwa muda mrefu sana.
Tunaomba wote tuwe tunaweka vyakula ambacho hata mwenzio akiona anajisikia vizuri wale wa kupika tukapike sio kukatishana tamaa ya kula [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mimi nina kinyaa siwezi endelea kula, siku ametuma nyama ya nyoka sikula kabisa nikikumbuka tuu naona mate yanajaa mdomoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Sure
Mimi mara nyingi muda wa kula ndio huwa naingia humu ili nipost chakula nilichopiga picha.
Sasa ukikutana na mavitu ya ajabu, mtu mwenye kinyaa anaweza ashinde na njaa yake.
Wengine tunalisongesha tu[emoji23].
Medium NAH[emoji777] I can’t
Haya Ninja Mbona sijayaona yanapatikana kwa nani?
Vitu vya kusubiria siweziNikupe namba ya mtu akuagizie Denmark?
Nadhani anafanya 500,000 Kama sijasahau
Aiseee parachichi ndio mamboMaisha bila maparachichi mimi siyawezi[emoji23]View attachment 2803155
Jamaniii, nimemis hii kitu..!View attachment 2805626
Home made…
Dessine ya ItalyView attachment 2803377
Nataka kununua hiii kampuni gani nzuri jamani???
Hutojutia 👏Nimemununua Dessin from Italy
Tutoeni ushambaDessine ya Italy
Langu linakaribia mwaka wa 2 sasa
Linapiga kazi inayopendeza
Nielekeze basi kuna ile sehemu ya rich sijui nin ,hivi muda unajiset automatic?Hutojutia 👏
Ni multicooker/ pressure cookerTutoeni ushamba
Tuambieni ni nini kwanza hicho[emoji23][emoji23][emoji23]
Kinatumika kufanya nini