Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

IMG_2067.jpg
 
Kubwa kabisa inapiga kilo ngapi za wali? Dessine yako ulinunua sh ngapi na wapi?
Dah.. sijawahi jua aisee
Me napikaga robo robo tu 😁
Ila la lita 6 nadhani ni mpk 2.5-3kg
Na kuna makubwa ya lita 8

Nilinunua huku Arusha, 180k nadhani.. ila huko Dar inaweza pungua.
 
Dah.. sijawahi jua aisee
Me napikaga robo robo tu 😁
Ila la lita 6 nadhani ni mpk 2.5-3kg
Na kuna makubwa ya lita 8

Nilinunua huku Arusha, 180k nadhani.. ila huko Dar inaweza pungua.
180k ilikuwa la lita ngapi?
 
Back
Top Bottom