makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hii kiasi gani?Maneno ya Lidl.....SilverCrest
Hiyo pia ni nzuri na bei pia ni rafiki
Lakini kama una mkono mrefu unaweza nunua brand ya Ninja...ambayo kwa sasa ndio habari ya mjini
View attachment 2803480
View attachment 2803482
Mkuu, nami nataka nunua, itabidi uje unipige brush unitoe ushamba wa matumizi yake.Dessine ya Italy
Langu linakaribia mwaka wa 2 sasa
Linapiga kazi inayopendeza
Ewaa hapo kwenye ugali, unapikaje huo ugali?Ni multicooker/ pressure cooker
Inapika wali.. kwenye wali waweza pika na pilau
Maharage na ndugu zake
Nyama na mishemsho yote
Kuna siku gas ikakata shwaa
Nikapikiamo ugali
Unapika kawaida tuβ¦Ewaa hapo kwenye ugali, unapikaje huo ugali?
ππ brash gani wataka?Mkuu, nami nataka nunua, itabidi uje unipige brush unitoe ushamba wa matumizi yake.
Ya matumizi ya presha kuka, kutoa ukoko wa ushamba wa presha kuka.ππ brash gani wataka?
Mie nikajua unajipika wenyewe AUTOMATIKALI π€£Unapika kawaida tuβ¦
Unawekamo maji,, unakorogea uji⦠unasonga ugali kawaida.
HahaMie nikajua unajipika wenyewe AUTOMATIKALI π€£
HahaYa matumizi ya presha kuka, kutoa ukoko wa ushamba wa presha kuka.
Au we unadhani brashi gani ππ€£π€£
Ndio nishakuwa muhitaji hivyo, we sema nikushitue lini?Haha
Haya,, ukihitaji utanishtua
Kubwa kabisa inapiga kilo ngapi za wali? Dessine yako ulinunua sh ngapi na wapi?Haha
Hapana aisee
Dah.. sijawahi jua aiseeKubwa kabisa inapiga kilo ngapi za wali? Dessine yako ulinunua sh ngapi na wapi?
Loe kwakwer Ina leta matashititi Kati kuitafuna tamu iyoTupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula[emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 566179View attachment 566180
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ngoma kama inakaranga bonge moja la msosi vitu vyangu pili pili ya kutosha kama upo India π³π€£π€£π€£
Karibuni cha usiku !
180k ilikuwa la lita ngapi?Dah.. sijawahi jua aisee
Me napikaga robo robo tu π
Ila la lita 6 nadhani ni mpk 2.5-3kg
Na kuna makubwa ya lita 8
Nilinunua huku Arusha, 180k nadhani.. ila huko Dar inaweza pungua.
Hii sijui kama zipo DarHii kiasi gani?