Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi leo tunakula nini?Njaa🥲Karibia karibia
View attachment 2867667
Lizzy msosi😉
Hivi unashibaje ukila hivi?
Mama ntilie oyeeee 🤣🤣🤣🤣
Una menu tamu sana . 💪💪💪💪Karibia karibia
View attachment 2867667
Hii ni nini, mbona kama wali na mafuta?😂
Una menu tamu sana . 💪💪💪💪
Wali na mafuta ya ng'ombe! 😆😆Hii ni nini, mbona kama wali na mafuta?😂
Nahhh! Nilikua natania tu...nyama ndo ilikua na mafuta.Samli? naomba unielekeze hayo mafuta ya ng'ombe umeyapata wapi