Hivi leo tunakula nini?Njaaπ₯²Karibia karibia
View attachment 2867667
Lizzy msosiπ
Hivi unashibaje ukila hivi?
Mama ntilie oyeeee π€£π€£π€£π€£
Una menu tamu sana . πͺπͺπͺπͺKaribia karibia
View attachment 2867667
Hii ni nini, mbona kama wali na mafuta?π
Una menu tamu sana . πͺπͺπͺπͺ
Wali na mafuta ya ng'ombe! ππHii ni nini, mbona kama wali na mafuta?π
Nahhh! Nilikua natania tu...nyama ndo ilikua na mafuta.Samli? naomba unielekeze hayo mafuta ya ng'ombe umeyapata wapi