Jokes aside, my mind ask these questions quriously.....!
Are you a content creator?
Are you a mixture of Masai and Sukuma man?...π€ͺπ€ͺπ€ͺπ
Hizo njegere zitanifanya nigonge hodi kwako bila mualiko...ππππ.
Ila tuu, kwa sie wanyamwezi.... raha ya ugali uufinyange kwenye kiganja halafu uuchovye kwenye dimbwi la mboga zilizoungwa na karanga ya kusaga kwenye kibao uuweeehh....!!!!πππ
Wacha nifanye mchakato wa safari ya Tabora.... nikale mahama, karanga na asali.
Yeah, my mind think about food by 98% π¬ππππ.
SGR inanihusu...ππΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ.