Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

ae2aaf69909ae9fc07257b6b6b5146ff.jpg
 
View attachment 3000271
Sisi wakulima wali na vyakula vya kizungu kwetu ni appetizer..

Jokes aside, my mind ask these questions quriously.....!

Are you a content creator?

Are you a mixture of Masai and Sukuma man?...🤪🤪🤪😁

Hizo njegere zitanifanya nigonge hodi kwako bila mualiko...😋😋😋😋.

Ila tuu, kwa sie wanyamwezi.... raha ya ugali uufinyange kwenye kiganja halafu uuchovye kwenye dimbwi la mboga zilizoungwa na karanga ya kusaga kwenye kibao uuweeehh....!!!!😋😋😋

Wacha nifanye mchakato wa safari ya Tabora.... nikale mahama, karanga na asali.
Yeah, my mind think about food by 98% 😬🙄🙂🙂🙂.

SGR inanihusu...🙃🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️.
 
Jokes aside, my mind ask these questions quriously.....!

Are you a content creator?

Are you a mixture of Masai and Sukuma man?...🤪🤪🤪😁

Hizo njegere zitanifanya nigonge hodi kwako bila mualiko...😋😋😋😋.

Ila tuu, kwa sie wanyamwezi.... raha ya ugali uufinyange kwenye kiganja halafu uuchovye kwenye dimbwi la mboga zilizoungwa na karanga ya kusaga kwenye kibao uuweeehh....!!!!😋😋😋

Wacha nifanye mchakato wa safari ya Tabora.... nikale mahama, karanga na asali.
Yeah, my mind think about food by 98% 😬🙄🙂🙂🙂.

SGR inanihusu...🙃🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️.
Imenibidi nicheke tu 😄👏
Hivi we mnyamwezi kweli?
 
Back
Top Bottom