Duh! Kwa hiyo hao wote hapo wanaachia shuzi tu π€£π€£.
Hivi wewe ni Mmakonde? Una ndonya? π€£
Jamba juice tena π€£π€£π€£π€£ aisee sasa hii wale wenye mchezo wa tigo sii ndio watafurika hapoView attachment 3019448
Mgahawani....ππππ
View attachment 3019449
Na tangazo lake....ππ
Biashara huria...π.
Jamba juice tena π€£π€£π€£π€£ aisee sasa hii wale wenye mchezo wa tigo sii ndio watafurika hapo
Inapatikana wapi?Ni taamu hiyooo, karibu uionje πππ.
Watu wa jf mnakula vizuri....haya mtu alete picha anagonga maghimbi na viazi vitamu basi sio vyakula vya ulaya ulaya tuu
Mbagala charambe ndio kama unaenda kule azam complex?Mbagala Charambee, karibuu.
Mbagala charambe ndio kama unaenda kule azam complex?
Ndio bei gani juice?Ewaaah, hukohuko unafika na utaletwa hadi nyumbani.
Ndio bei gani juice?
Keaho wikend nitakuja huko nipate juice huku najambajambaMzab mbona unafujo hivyo ππππ
Bei ya serikali tuu, glass ndogo buku jero glass kubwa buku tatu π.
Na mrija unapewa, ukitaka baridi ama moto zote zinapatikana.
Ukitaka unywe hapohapo au take away pia huduma unapata.
Keaho wikend nitakuja huko nipate juice huku najambajamba
Nitakupm nikiwa in the area napoza koo.Aahahahahahaaa looh πππππ
Yaani weweee.....
Karibu sana π.
Unipikie pilau la kuku basi mie nitakuja na take away ya juice jamba jambaπ€£π€£π€£π€£Aahahahahahaaa looh πππππ
Yaani weweee.....
Karibu sana π.
Unipikie pilau la kuku basi mie nitakuja na take away ya juice jamba jambaπ€£π€£π€£π€£
Nitakupm nikiwa in the area napoza koo.