Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Duh! Kwa hiyo hao wote hapo wanaachia shuzi tu 🤣🤣.
Aahahahahahaa kabisaa in Uncontrollable manner....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kwa hiyo hao wote hapo wanaachia shuzi tu 🤣🤣.
Hivi wewe ni Mmakonde? Una ndonya? 🤣
Jamba juice tena 🤣🤣🤣🤣 aisee sasa hii wale wenye mchezo wa tigo sii ndio watafurika hapoView attachment 3019448
Mgahawani....🙂😀😀😀
View attachment 3019449
Na tangazo lake....😃😃
Biashara huria...😉.
Jamba juice tena 🤣🤣🤣🤣 aisee sasa hii wale wenye mchezo wa tigo sii ndio watafurika hapo
Inapatikana wapi?Ni taamu hiyooo, karibu uionje 😆😆😆.
Watu wa jf mnakula vizuri....haya mtu alete picha anagonga maghimbi na viazi vitamu basi sio vyakula vya ulaya ulaya tuu
Mbagala charambe ndio kama unaenda kule azam complex?Mbagala Charambee, karibuu.
Mbagala charambe ndio kama unaenda kule azam complex?
Ndio bei gani juice?Ewaaah, hukohuko unafika na utaletwa hadi nyumbani.
Ndio bei gani juice?
Keaho wikend nitakuja huko nipate juice huku najambajambaMzab mbona unafujo hivyo 😄😄😄😄
Bei ya serikali tuu, glass ndogo buku jero glass kubwa buku tatu 😋.
Na mrija unapewa, ukitaka baridi ama moto zote zinapatikana.
Ukitaka unywe hapohapo au take away pia huduma unapata.
Keaho wikend nitakuja huko nipate juice huku najambajamba
Nitakupm nikiwa in the area napoza koo.Aahahahahahaaa looh 😂😂😂😂😂
Yaani weweee.....
Karibu sana 🙂.
Unipikie pilau la kuku basi mie nitakuja na take away ya juice jamba jamba🤣🤣🤣🤣Aahahahahahaaa looh 😂😂😂😂😂
Yaani weweee.....
Karibu sana 🙂.
Unipikie pilau la kuku basi mie nitakuja na take away ya juice jamba jamba🤣🤣🤣🤣
Nitakupm nikiwa in the area napoza koo.