Uzi wa vyakula tu

Cereal πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈ standard breakfast, sometimes unakula hadi zinakera

Ahahaaaaaa...!😁😁😁
Ukitaka ujanja usifululize kila siku....
Ukiweka interval hazikifu.

Usiwe tu mvivu wa kupika.... mfano mie si mpenzi wa maziwa wala kahawa wala chai hivyo ntazungusha vyote ila hivyo haviko kwenye menu yangu.
 
Unashushia na jamba jamba juice au sio 🀣🀣🀣🀣

Aahahahaaa Mzab weeweeee....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umefanya nicheke bila shuruti eeheheheeee 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Jamba juice ndo mpango mzima...
 
Ahahaaaaaa...!😁😁😁
Ukitaka ujanja usifululize kila siku....
Ukiweka interval hazikifu.

Usiwe tu mvivu wa kupika.... mfano mie si mpenzi wa maziwa wala kahawa wala chai hivyo ntazungusha vyote ila hivyo haviko kwenye menu yangu.
Sasa ahsubuhi unawahi kazini what’s more convenient than a bowl of cereal 😌

Kuna kazi bila double shots of espresso haziendiπŸ˜‚
 
Sasa ahsubuhi unawahi kazini what’s more convenient than a bowl of cereal 😌

Kuna kazi bila double shots of espresso haziendiπŸ˜‚

Ahahahahaa
Enjoy your working days, uzuri kila mtu anajiwekea urahisi wa kupata mahitaji.

πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…