Uzi wa vyakula tu

Hiki ni chakula au kinywaji?

View attachment 3168355

Wee Msukuma,

Huyo mnyama gani ambaye anabonyezeka Parking and Neutral kwa wakati mmoja....!!!πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Halafu utafsiri hiyo Purell ni nini isijekuwa unaitumia kama naniliu....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ

Wapi Choda ya Baba...!!???πŸ˜…

Mi ataka Choda ya Mama πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.
 


Leo mudi nyingi, sijapika matokeo yake nimekula garasa...

Walau shurbati ya nanasi iliswihi matakwa.


Kipande cha pizza iliyoungua ya kupewa na kiporo cha wali wa jana mboga mayonaizi.....πŸ™„πŸ™„πŸ™„.

Tumbo jalala, natupia tuu 😏.
 
Hiyo Purell siyo ranch dressing πŸ–•.
 
Hiyo nyeupe nyeupe ni nini? Mayo au ranch dressing?

Inaitwa Mwangaluka MAYO ng'wanawane....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Taamuu hiyooo kama naniliuuu...πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ.
 
Mbona kama biriani?

Sio biriani hiyo ng'wanawane, huo ni wali wa nazi nimeuremba na shredded carrots halafu nimeupika kwenye oven mwanzo mwisho, mtamuuu...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.

Mbwembwe za Mnyamwezi wa Igunga aka Kasinde Mahaba Misosi πŸ˜…πŸ˜….

Unaweza kuula huo wali bila mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…