Uzi wa vyakula tu

Mkuu hata mimi nilitaka niulize hili swali[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kwa hali hiyo anastahili kuitwa mwanaume wa dar
Hivi kwanini tunadhani kula chakula kingi ndio sifa ya kuwa mwanaume? Nijuavyo mimi ulaji wa chakula unachangiwa na hali ya hewa aina ya kazi muda na aina ya chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…