Uzi wa vyakula tu

Dah mrembo msosi wote huo unamaliza peke yako? Au upo na mr
Ww mwenyewe inaonekana mwanaume wa Dar, sasa hicho tuwali unatuona twingi?

Btw naona picha nyingi ni za chips yai , mleta mada badilisha heading na iwe " Uzi wa vyakula vya Dar"

Sisi wa mikoani tunakula kumaliza na sio kushiba.
 
Ww mwenyewe inaonekana mwanaume mwanaume wa Dar, sasa hicho tuwali unatuona twingi?

Btw naona picha nyingi ni za chips yai , mleta mada badilisha heading na iwe " Uzi wa vyakula vya Dar"

Sisi wa mikoani tunakula kumaliza na sio kushiba.
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…