LikewiseOkay..enjoy you're holiday
Miss yu tooo...Ulipotelea wapi ndugu..
Miss you
Lost ni kupotea nadhani ulitaka kusema roast... BTW iko vizuri
Nishafowad tayar.Hata vya kufowadi basi leteni khaa[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena hapo wabongo wanapotea mara mbili, namna ya kuiandika na kitu chenyewe. Japo ishakibalika miongoni mwa wabongo kwa hicho wanachomaanisha, lakini, kwa asili neno lilipotoka, ROAST ni kubanika.Hivyo, mwiingereza akija hapa akisoma menu ya Kiswazi, ataingia chaka.Kuku roast analetewa kuku katika hali ya mchuzi/sauce na madikodiko. Sijui nani aliyepotosha hivi.
Hatuonani lolMiss yu tooo...
Nipo saana tuu
Ukuje pm. TuteteHatuonani lol
Hhhhh nakucheki mkuu.
Sasa nyie ndo mnaloweshaga magodoroView attachment 939099
Chakula cha binadamu;
Kwa wale wenzangu na mie (Mara) wanaokula ugali mwekundu sijui huwa wanapata radha ipi.
Ya kwako hapo ni ipi mkuuSubirini sasa niwatamanisheView attachment 940672View attachment 940673
Happy Maulid.Maulid dayView attachment 940814