Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Lost ni kupotea nadhani ulitaka kusema roast... BTW iko vizuri

Tena hapo wabongo wanapotea mara mbili, namna ya kuiandika na kitu chenyewe. Japo ishakibalika miongoni mwa wabongo kwa hicho wanachomaanisha, lakini, kwa asili neno lilipotoka, ROAST ni kubanika.Hivyo, mwiingereza akija hapa akisoma menu ya Kiswazi, ataingia chaka.Kuku roast analetewa kuku katika hali ya mchuzi/sauce na madikodiko. Sijui nani aliyepotosha hivi.
 
Kiumeni.

Karibuni.
IMG_20181120_150008.jpg
 
Tena hapo wabongo wanapotea mara mbili, namna ya kuiandika na kitu chenyewe. Japo ishakibalika miongoni mwa wabongo kwa hicho wanachomaanisha, lakini, kwa asili neno lilipotoka, ROAST ni kubanika.Hivyo, mwiingereza akija hapa akisoma menu ya Kiswazi, ataingia chaka.Kuku roast analetewa kuku katika hali ya mchuzi/sauce na madikodiko. Sijui nani aliyepotosha hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom