Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Fish Koromijeee......😛😛
Want some?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fish Koromijeee......😛😛
Want some?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23]Usiku mwema
Family View attachment 974139
Mzee mbona unacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23]
(In magufuli voice)Kwaiyo huku nyie maisha mazuri kila siku,,hamnaga siku mnakula ugali mlenda
Kabichi sijawahi kupika nikaipatia yaani huwa naharibu tu
Uje nikufundishe mkuu, first of all unatakiwa kuikata vpande vidogo vdogoKabichi sijawahi kupika nikaipatia yaani huwa naharibu tu
Uje nikufundishe mkuu, first of all unatakiwa kuikata vpande vidogo vdogo
Unaikaje?Kabichi sijawahi kupika nikaipatia yaani huwa naharibu tu
Umepitia uzi wote kweli hujaona ugali?Kwaiyo huku nyie maisha mazuri kila siku,,hamnaga siku mnakula ugali mlenda
Kuku ya chienyeji chukuchukuDah... [emoji39][emoji39][emoji39]achana na sima... Hiyo mboga hiyo [emoji39][emoji39][emoji39].... Nahisi utamu kama wote
Na mlenda tena ule mweusi wa kigogo atakua ajapitia mkuuUmepitia uzi wote kweli hujaona ugali?