dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Aww Hongera! mpenzNzuri
View attachment 974265leo kwa Mara ya kwanza nimepika kalmat
Ila zina mafutaa hizoo, punguza kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aww Hongera! mpenzNzuri
View attachment 974265leo kwa Mara ya kwanza nimepika kalmat
Hahahahhaha ndo sifa ya kalmat shart ziwe shatashataAww Hongera! mpenz
Ila zina mafutaa hizoo, punguza kidogo
Aww Hongera! mpenz
Ila zina mafutaa hizoo, punguza kidogo
Napo sio mbaya[emoji39]Ntakutumia kwa picha babes [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napo sio mbaya[emoji39]
Supu ya utumbo eeeh???
Aisee,Hahahahhaha ndo sifa ya kalmat shart ziwe shatashata
Mzee unaumiza sana..Habari za asubuhi wandugu..!View attachment 974253
Hahahah! Kamanda mbona kawaida tuMzee unaumiza sana..
Eeh mama..utumbo huoSupu ya utumbo eeeh???
Supu ya utumbo naipenda sana. Nimetoka kunywa muda sio mrefu na chapati. Nimeanza weekend hapaEeh mama..utumbo huo
Tamu..kuna wengine huwa hawaoshi basi inakuwaga nzitoooo unaiskia kabisa ile ladha hadi unasinzia kwa utamu..Supu ya utumbo naipenda sana. Nimetoka kunywa muda sio mrefu na chapati. Nimeanza weekend hapa
Tamu sana. Supu ya nyama sijui kuku au samaki siwezagi nakunywaga basi tuu. Ila utumbo ukute wamemix na nyama ya mbuzi weeeeeeee lazima ujirambe.Tamu..kuna wengine huwa hawaoshi basi inakuwaga nzitoooo unaiskia kabisa ile ladha hadi unasinzia kwa utamu..
Weekend umeanza mapema uwi..
Tamu..kuna wengine huwa hawaoshi basi inakuwaga nzitoooo unaiskia kabisa ile ladha hadi unasinzia kwa utamu..
Weekend umeanza mapema uwi..