Lokii
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 709
- 2,089
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nimechukia mdogo wangu.
Ujue nilikuwa nimeipania sana hiyo menu yao hadi staftahi sikula.
Only kwenda na kugandishwa zaidi ya masaa mawili....
Pole sana.
Ukiachia customer services,unaonaje vyakula vyao?
Mkwe farkhina nlivyoona hii pilau tu kabla sijaangalia jina nlijua ni wewe mkwe.
Mkwe farkhina nlivyoona hii pilau tu kabla sijaangalia jina nlijua ni wewe mkwe.
Kwa viwango vya hii pilau nlijua ni wewe tu.
Mkwe nikaribishe basi[emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
Juice ya nanasi embe au nini?
Nanasi....all natural! Tamu na haina sukari.
Nasubiri mishkaki ya nundu, kuku, na firigisi...
Mishkaki ya nundu....
View attachment 981344