Umeanza chokochoko zako ee[emoji3]
Unataka kuleta utundu lissu ee.[emoji3][emoji3][emoji3] #joke
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkwe huyu kijana anatumiwa na mabeberu kuharibu mipango yangu.
Mpishi wetu hujambo?
Mpishi wetu hujambo?
Kuuliza si ujinga, kwasababu nataka kujifunza.
Kwanza nakupa hongera nyingi kwa hiyo CHAI iliyopikika na ikaiva, si haba, maana mpaka MALAI yanaonekana.
Hiyo CHAI hukuchanganya na MILO?
Mkwe huyu kijana anatumiwa na mabeberu kuharibu mipango yangu.
Si akaoe huko kwao nanjilinji??[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa DARSA.Hapana hii chai sio ya kuchanganya Na milo.
Nimeweka maji nusu kikombe,nimetwanga tangawizi Na hiliki,nimeweka na zatari, karafuu 3 mpaka 5 na vijiti vya mdalasini Na tea bag.
Nimechemshaa hadi viungo vimeasha kutoa harufu Na rangi nimeweka maziwa hadi kuwiva.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa DARSA.
Dada ubarikiwe sana
Ahaaa..Umeanza chokochoko zako ee[emoji3]
Unataka kuleta utundu lissu ee.[emoji3][emoji3][emoji3] #joke
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana umechelewa sana,mie toka last year nshakwenda unguja na kishika uchumba cha bilion 3 nshatoa.Ahaaa..
Hivi unajua Mkwe ananielewa sana!
Hapa nasubiri go ahead nitimbe Unguja
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashiba? [emoji848]