Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

CA947DD5-1E4C-4258-BF84-6DAB6A8AEABD.jpeg
 
PILAU imepikika.

Naona NJEGERE kidogo, na KAROTI.

Samahani MPISHI wetu.

Katika kubadilisha MAPISHI yako, hivi huwa unapika PILAU ya kuchanganya na TUI la NAZI?

Hii haikua pilau ni wali wa mboga mboga.

Hapana sijawahi kupika pilau ya nazi.

Ila ubwabwa wa nazi kwa maharage ni [emoji91]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom