Uzi wa vyakula tu

Hili rojo umeeka nini na nn
Palm oil,viazi,(vitunguu,hoho,karoti,ginger &garlic) vilisagwa pamoja na chopped giligiliani +ivyo kwenye mabano na viungo kama bay leaves,paprika,curry n.k hopefully umeelewa nimeshindwa kuandika kwa kirefu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…