Kipindi nipo mdogo home kwa wazee, siku ukipikwa wali maharage tulikuwa tukiita Manchester United na Liverpool siku hiyo unaambiwa huwa sichezi mbali [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji2817][emoji2817][emoji2817][emoji2817][emoji39][emoji39][emoji39]Wali kwa maharage na kachumbari ya papa mkavu [emoji91] .
naachama tuu aisee
kakupikia nan mkuuMdogo mdogo View attachment 1228902
Kuna watu wanafaidiMdogo mdogo View attachment 1228902
Mkuu hii menu inapatikana kiwanja kipi?
Je una coffeemaker ?
Habari yako man!
Mzee hizo kuna shemeji yako ni barista ndo anatengenezaga. Kukupa contacts itakua ngumu mnooo [emoji23][emoji41]. Mimi mtumiaji tu, waweza cheki tutorials youtube si ngumu hata.View attachment 1225382
[emoji23] si unajua mjini hapa "abiria chunga mzigo wako". Hata hivyo sasa hivi yupo mbali kidogo.Mkuu [emoji23][emoji23] umenichekesha sana kwamba Contact hapana, sisi wengine hatuna mambo ya kijinga tunafata yaliyo tupeleka na kama ni darasa anafundisha analipwa anaheshimiwa kama mwalimu tukimaliza kila mtu anachukua njia yake