Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Kipindi nipo mdogo home kwa wazee, siku ukipikwa wali maharage tulikuwa tukiita Manchester United na Liverpool siku hiyo unaambiwa huwa sichezi mbali [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

Wali kwa maharage na kachumbari ya papa mkavu [emoji91] .
 
View attachment 1225412

Na MCHELE nao umetulia, umenyooka.

Ghafla nimeutamani huu WALI na MAHARAGE

Me binafsi wali wa kula na maharage sipendi kutumia mchele wa kunyooka napenda mengine kama mbeya au ya kunukia,mchele wa kunyooka kwenye pilau biryaan mandi n.k tena nataka uchambuke niuone mmoja mmoja.
 
Mdogo mdogo
IMG_20191010_175543.jpeg
 
Habari yako man!

Mzee hizo kuna shemeji yako ni barista ndo anatengenezaga. Kukupa contacts itakua ngumu mnooo [emoji23][emoji41]. Mimi mtumiaji tu, waweza cheki tutorials youtube si ngumu hata.View attachment 1225382

Mkuu [emoji23][emoji23] umenichekesha sana kwamba Contact hapana, sisi wengine hatuna mambo ya kijinga tunafata yaliyo tupeleka na kama ni darasa anafundisha analipwa anaheshimiwa kama mwalimu tukimaliza kila mtu anachukua njia yake
 
Mkuu [emoji23][emoji23] umenichekesha sana kwamba Contact hapana, sisi wengine hatuna mambo ya kijinga tunafata yaliyo tupeleka na kama ni darasa anafundisha analipwa anaheshimiwa kama mwalimu tukimaliza kila mtu anachukua njia yake
[emoji23] si unajua mjini hapa "abiria chunga mzigo wako". Hata hivyo sasa hivi yupo mbali kidogo.
 
Back
Top Bottom