Uzi wa vyakula tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bloo,utam unaoupata hapa ni zaid ya utam ule ukiwa na papuch.

Nmekosa cha kufananisha.nisamehe mim

Ila mim nikionaga hzo mboga na ugal huwa navua nguo nabak na boksa ndo naanza kula

Jr[emoji769]
 
My dear nimepika kachori mara mbili lkn zinafunguka viazi vinatoka sasa sijajua ninakosea wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…