Kinachohitajika ni damu tuu sio vipapatio... Nimemla kama simjui[emoji2][emoji2][emoji2]
Jr[emoji769]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ninyi waganga hamfai mnataka vitamu tu visivyofaa mnavitengenezea kasoro.Uumbaji wake sio kamili.. Ni nusu na robo
Jr[emoji769]
nimeona alama za vidole kwenye bakuli,kumbe na wewe unafanya hii makituππππ[emoji30][emoji30][emoji30][emoji2][emoji23]
Jr[emoji769]
Yahhapa ni skewers?
wako vizuri.
π π π jamani nmekumbuka video ya mtoto flani hivi anaongea balaa.Nimemla kama simjui
Sana kwa 20,000 tu. Nikiwa pale mimi ni mishkaki na kuku tu mpaka jamaa waacha kutembeza upande wangu.wako vizuri.
hahhahaha kumbe ile ya kutembeza inakuaga hata siku za kawaida mimi hua naendaga ile iftar special ile treat ni ya kipekee kabisa sjui wanapataje faida.Sana kwa 20,000 tu. Nikiwa pale mimi ni mishkaki na kuku tu mpaka jamaa waacha kutembeza upande wangu.
Maisha fake fake,vyakula vya ku download mtandaoni ndo vimejaa humu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app