πππ bora kikosekane kichwa, shingo na mgongo ila sio maini, firigisi na miguu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii ilikuja bila maini firigisi wala kichwa(nilichukia sana)
Nahisi miguu itakuwa ulikula wewe
Nimetoka kununua mda huu. Kilo moja 9,000.
Ooooh nilishawahi kupika zile za makopo sio nzuri sana zinakuwa zina radha mbayaMimi huwa nanunua steak.
Buchani wana mashine kusaga ni buku.
Lakini unaweza kununua food processor yenye uwezo huo.
[emoji12] hatari nmetamani sana gafla ukipata mtu kaziunga fresh unaweza kutamani tusifeNimetoka kununua mda huu. Kilo moja 9,000.
View attachment 1450942
[emoji12] hatari nmetamani sana gafla ukipata mtu kaziunga fresh unaweza kutamani tusife
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooh nilishawahi kupika zile za makopo sio nzuri sana zinakuwa zina radha mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani anamaanisha kontena linakuwa moja halafu Lina Kama vyumbavyumba hiviTatizo mazingira tuliyopo kila mmoja wetu ana chombo kimoja tuu...
Jr[emoji769]
Ooh ok ok sawaNadhani anamaanisha kontena linakuwa moja halafu Lina Kama vyumbavyumba hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
#Mihogo point
Mwenge View attachment 1452385