Uzi wa vyakula tu

Mkeka huo umenikumbusha mbali enzi hizo mnakula pilau lazima liwekwe kwenye mkeka kama huo alafu raha ya pilau ule na mkono


Ila huo msosi wako ni dawa kabisa dhidi ya corona!
Raha ya chakula ukae kwenye mkeka namna hiyo ule[emoji3526][emoji108]

Hahaha..siku wakichukua sampuli ya avocado ikapelekwa maabara ikatest +ve covid19 Mimi nimekwisha[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…