Uzi wa vyakula tu

Ipo japo kidogo[emoji1787][emoji23],yes I'm vegetarian napambana ni mantain Hb yangu
Hb unamaanisha nini? Between chakula chako wamepunja nyama mchuzi maharage.
Halafu leo hadi mda huu sijui nitakula nini.
Nipo tu kitandani ninachat.
Hata sijaweka mazingira ya kupika
 
Hb unamaanisha nini? Between chakula chako wamepunja nyama mchuzi maharage.
Halafu leo hadi mda huu sijui nitakula nini.
Nipo tu kitandani ninachat.
Hata sijaweka mazingira ya kupika
Haemoglobin level(wingi wa damu),,usijari my ntakutumia lunch,[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…