Uzi wa vyakula tu

Virse versa,kula chakula then malizia matunda ndo utaratibu otherwise ni ulafi tu.kula chakula na sallad ni sawa.matunda na chakula big no labda buffé ya harusini maana yatakwisha.
Ooh basi huenda sikumbuki vyema mkuu! Anyway ni sawa mkuu..
By the way unaweza kunitofautishia kazi inayofanywa na Salad na ya matunda mwilini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…