Punguzeni stori humu jamani tunahitaji picha tulie ugali magetoni.
Ooh basi huenda sikumbuki vyema mkuu! Anyway ni sawa mkuu..Virse versa,kula chakula then malizia matunda ndo utaratibu otherwise ni ulafi tu.kula chakula na sallad ni sawa.matunda na chakula big no labda buffé ya harusini maana yatakwisha.
Ngoja tusubir Ideas za wengine pia!Kwahyo hapo tuichukue principle ipi mkuu
[emoji38][emoji38]Punguzeni stori humu jamani tunahitaji picha tulie ugali magetoni.
TH tupia picha tule kwa macho [emoji3526][emoji38][emoji38]
Mambo si ndio hayoo[emoji3]Ardhi ya ugeniniView attachment 1476059
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo si ndio hayoo[emoji3]
Ndiyo
Kwanini
Hahahaha hiyo picha ya tu chips ,tuyai na juisi za azam ,imeniacha hoiKwanini
Au chombo changu?[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha hiyo picha ya tu chips ,tuyai na juisi za azam ,imeniacha hoi
Sent using Jamii Forums mobile app
.[emoji3][emoji3][emoji3]naomba recipeView attachment 1476153
Naomba recipe ya msosi wako hapo.[emoji3][emoji3][emoji3]