Uzi wa vyakula tu

Hiko ninakula full suit.
Mchana na usiku.
Nipo peke yangu kwenye nyumba kupika uvivu.. Basi naishia kula kwenye vibanda vya chips.

Leo ndo nimetamani mchicha nimepika kivivuuuuuuu.
[emoji24][emoji24] Yan ndo nmekosa mwaliko kiivyo dah! Ila sio mbaya ngoja niwasubr mashangaz love wenye upendo labda watanialika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…