Uzi wa vyakula tu

Dinazarde amu Ina nawengineo. leo nataka nimpumzishe wife niingie jikoni kukorofisha tatizo sijui pakuanzia yaan nataka mnipe material yote mpaka na jinzi ya kuyabadilisha kua bonge la msosi, nataka nikirudi home niwe na kila kitu nyumban nikatumie chumvi tu.

Karibuni na Mungu awabariki

Mshana Jr ningemuita lakini lile bakuli lake sijawai lielewa anaweza nipa material nikajikuta nampikia wife tunguri[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…