Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

IMG_3161.JPG

Mihogoo ya kuchemsha
 
Dinazarde amu Ina nawengineo. leo nataka nimpumzishe wife niingie jikoni kukorofisha tatizo sijui pakuanzia yaan nataka mnipe material yote mpaka na jinzi ya kuyabadilisha kua bonge la msosi, nataka nikirudi home niwe na kila kitu nyumban nikatumie chumvi tu.

Karibuni na Mungu awabariki

Mshana Jr ningemuita lakini lile bakuli lake sijawai lielewa anaweza nipa material nikajikuta nampikia wife tunguri[emoji1787]
 
Back
Top Bottom