Wataka umpikie nn leo?Dinazarde amu Ina nawengineo. leo nataka nimpumzishe wife niingie jikoni kukorofisha tatizo sijui pakuanzia yaan nataka mnipe material yote mpaka na jinzi ya kuyabadilisha kua bonge la msosi, nataka nikirudi home niwe na kila kitu nyumban nikatumie chumvi tu.
Karibuni na Mungu awabariki
Mshana Jr ningemuita lakini lile bakuli lake sijawai lielewa anaweza nipa material nikajikuta nampikia wife tunguri[emoji1787]
Dinazarde amu Ina nawengineo. leo nataka nimpumzishe wife niingie jikoni kukorofisha tatizo sijui pakuanzia yaan nataka mnipe material yote mpaka na jinzi ya kuyabadilisha kua bonge la msosi, nataka nikirudi home niwe na kila kitu nyumban nikatumie chumvi tu.
Karibuni na Mungu awabariki
Mshana Jr ningemuita lakini lile bakuli lake sijawai lielewa anaweza nipa material nikajikuta nampikia wife tunguri[emoji1787]
Hili harage nimelielewa
Wakuu tunakula nn mchana huu!? [emoji23][emoji23][emoji23] Mida ndo hii jaman
Wakuu tunakula nn mchana huu!? [emoji23][emoji23][emoji23] Mida ndo hii jaman
Yaan mm at a sijui we nichagulie cha kupika ili iwe rahisi wewe mwenyewe kupangia maitajiWataka umpikie nn leo?
Picha muhimu mkuu, chakupika ndio mnichagulie nyie sasa[emoji2296]wataka kupika nini
usisahau pichaa
Picha muhimu mkuu, chakupika ndio mnichagulie nyie sasa[emoji2296]
Nipe list ya mahitaji mkuupika mchesho wa ndizi na nyama
Nipe list ya mahitaji mkuu
Mbona mdogo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekupata mkuu subiria mrejesho hapa hapa. Nimescreenshort kabisa[emoji1787]Vitunguu
Hoho
Karoti
Nyanya mbili au moja inategemea na wingi wa mchemsho ila kama kidogo weka nyanya moja tu
Mafuta
Nazi
Chemsha nyama iive iwe na supu yake tia ndizi zilizomenywa tayari kwenye nyama ongeza maji kiasi ,ikichemka kabisa tia hoho,karoti,vitunguu maji,nyanya moja au mbili iwe imesagwa au ya kukata kukata weka na chumvi kiasi
Kama una carypowder tia kidogo acha mpaka iive angalizo mchuzi usikaukie [emoji23]
Sinaga macomplicatiooon mie
Huo ugali mdogo sanaMdogo nin?
Huo ugali mdogo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha we mi mwanamke bana tena hapo natakiwa nipunguze tena kawe kadogo zaidi