Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Ok my dear ni rahisi

Weka unga wako kiasi ukitakacho tia hamira, chumvi,yai moja, na yougart vijiko kama vitatu kama unga mwingi utaongeza

Changanya vyote then koroga uji mzitoo, weka mafuta kidogo, halafu acha uumuke

Kwenye kuchota sasa kuna namna 2 ya kuchota ili litoke shape nzuri ya duara mana ukikosea utatoa vitu kama mijusi...hapa uchotaji wake nakushauri uungalie youtobe jinsi wanavyochota

Ukimaliza kupika unatengeneza shira yake ya ambayo ni sukari na iliki........unachemsha sukari na iliki ya unga hadi uone kama inanata ,,ikinata ndo tayari nyunyuzia juu ya kalimati.itakua ndo tayari
Enjoy.
mwambie anunue Kalmat maker 10,000-15,000
 
Nimepiga Kande siku 4 mfululizo wacha nami leo tumbo lifurahia kitu kizuri!

Ndizi,mboga,roast,kiepe,ubwabwa[emoji39] kuna dem jirani ananisalimia salimia leo sana hakika tutakula msosi na nimle yeye pia Double Food Eh! Mola asante kwa kunibless leo msosi na pussy....
IMG-20200731-WA0010.jpg
 
Nimepiga Kande siku 4 mfululizo wacha nami leo tumbo lifurahia kitu kizuri!

Ndizi,mboga,roast,kiepe,ubwabwa[emoji39] kuna dem jirani ananisalimia salimia leo sana hakika tutakula msosi na nimle yeye pia Double Food Eh! Mola asante kwa kunibless leo msosi na pussy....View attachment 1532066
Hatimaye weekend imeisha vizuri
 
Nimepiga Kande siku 4 mfululizo wacha nami leo tumbo lifurahia kitu kizuri!

Ndizi,mboga,roast,kiepe,ubwabwa[emoji39] kuna dem jirani ananisalimia salimia leo sana hakika tutakula msosi na nimle yeye pia Double Food Eh! Mola asante kwa kunibless leo msosi na pussy....View attachment 1532066
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unakula kwanza ndio ule?

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom