Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
IMG_20200901_100814.jpg
IMG_20200831_091751.jpg
 
Yani namshukuru Mungu kwangu kupungua ni kitu rahisi ,nlitoka maternity leave nikiwa na kg 73 (sijawai fikisha hizi kg)Ilikua Oct.mwaka jana sa hivi nina 59,nlivoacha tu mamitory na supu kila siku nikapungua.Yani mi nikila Sana nanenepa nikila nikijinyima napungua.Nawaza Tu nikila hivyo unavyokula eti korosho na maji ntakua miss.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unene ni mateso yaani nikifikisha kilo ninazotaka sitoruhusu kunenepa.
 
Yani namshukuru Mungu kwangu kupungua ni kitu rahisi ,nlitoka maternity leave nikiwa na kg 73 (sijawai fikisha hizi kg)Ilikua Oct.mwaka jana sa hivi nina 59,nlivoacha tu mamitory na supu kila siku nikapungua.Yani mi nikila Sana nanenepa nikila nikijinyima napungua.Nawaza Tu nikila hivyo unavyokula eti korosho na maji ntakua miss.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una bahati aisee
 
Haaaa mkuu! Ngoja nikipika tena ntakukaribisha ule then utaratibu mwingine utafuata! 😀🥰
Nitafurahi sana, vyakula vya namna hii huwa nakula nikiwatembelea marafiki zangu ambao wameoa. Yanipasa na mimi kufanya hivi na wewe ili wawe wanakuja kula chakula kitamu kama hiki kwangu.
 
Nitafurahi sana, vyakula vya namna hii huwa nakula nikiwatembelea marafiki zangu ambao wameoa. Yanipasa na mimi kufanya hivi na wewe ili wawe wanakuja kula chakula kitamu kama hiki kwangu.

Hahaha umetisha mkuu, usijali karibu cha jioni hapa
 

Attachments

  • 8AB25AED-B92D-4AC7-BD2A-A7079A0E75E4.jpeg
    8AB25AED-B92D-4AC7-BD2A-A7079A0E75E4.jpeg
    171 KB · Views: 2
  • 6EA2F322-9602-4A51-9F4C-939E8DF3BF19.jpeg
    6EA2F322-9602-4A51-9F4C-939E8DF3BF19.jpeg
    175.7 KB · Views: 2
Yes ni mboga mbona nimezichemsha, nikaweka kipande cha kuku na kipande cha gimbi. Nakula hivi ndio mwisho wa mlo wangu kwa leo.
Kwa ratiba hii ya chakula na vyakula unavyokula nasadikika kusema utakuwa na ngozi nzuri laini isiyo na mafuta mafuta maana nimegundua vyakula vyako ni vya asili na vingi ni mchemsho visivyo na mafuta. Hongera sana.
 
Back
Top Bottom