Yani namshukuru Mungu kwangu kupungua ni kitu rahisi ,nlitoka maternity leave nikiwa na kg 73 (sijawai fikisha hizi kg)Ilikua Oct.mwaka jana sa hivi nina 59,nlivoacha tu mamitory na supu kila siku nikapungua.Yani mi nikila Sana nanenepa nikila nikijinyima napungua.Nawaza Tu nikila hivyo unavyokula eti korosho na maji ntakua miss.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una bahati aiseeYani namshukuru Mungu kwangu kupungua ni kitu rahisi ,nlitoka maternity leave nikiwa na kg 73 (sijawai fikisha hizi kg)Ilikua Oct.mwaka jana sa hivi nina 59,nlivoacha tu mamitory na supu kila siku nikapungua.Yani mi nikila Sana nanenepa nikila nikijinyima napungua.Nawaza Tu nikila hivyo unavyokula eti korosho na maji ntakua miss.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo tayari kufanya kazi pembeni ya mtaro wa majitaka kama huyo mwamba?mkuu,nimebadili maamuzi,kwanzia kesho nabadili professional naanza kuwa mchoro tatoo,avatar yako imenibariki sana
Naomba kutangaza ndoa kwako, hilo pishi la wali njegere nimelielewa mno.Karibuni late late jamani.
Duuh!
𝙷𝚞𝚘 𝚞𝚐𝚊𝚕𝚒 𝚞𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚠𝚊 𝚍𝚘𝚗𝚊 𝚒𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚊𝚒𝚜𝚎𝚎Cha mchanaView attachment 1556413
Naomba kutangaza ndoa kwako, hilo pishi la wali njegere nimelielewa mno.
Nitafurahi sana, vyakula vya namna hii huwa nakula nikiwatembelea marafiki zangu ambao wameoa. Yanipasa na mimi kufanya hivi na wewe ili wawe wanakuja kula chakula kitamu kama hiki kwangu.Haaaa mkuu! Ngoja nikipika tena ntakukaribisha ule then utaratibu mwingine utafuata! 😀🥰
Nitafurahi sana, vyakula vya namna hii huwa nakula nikiwatembelea marafiki zangu ambao wameoa. Yanipasa na mimi kufanya hivi na wewe ili wawe wanakuja kula chakula kitamu kama hiki kwangu.
Asante sana, hiyo juice ya passion nimielewa mno naona hujaipunja matunda. Hizo kwenye sahani ni mbogamboga ama?Hahaha umetisha mkuu, usijali karibu cha jioni hapa
Asante sana, hiyo juice ya passion nimielewa mno naona hujaipunja matunda. Hizo kwenye sahani ni mbogamboga ama?
Unifungulie huko kwa waziri mkuu (PM) maana nimeshindwa wasiliana na wewe mama.Hahaha umetisha mkuu, usijali karibu cha jioni hapa
Ndio tunaanza kuyajenga mapema hivi? Ngoja nishibe kwanza mkuu.Unifungulie huko kwa waziri mkuu (PM) maana nimeshindwa wasiliana na wewe mama.
Kwa ratiba hii ya chakula na vyakula unavyokula nasadikika kusema utakuwa na ngozi nzuri laini isiyo na mafuta mafuta maana nimegundua vyakula vyako ni vya asili na vingi ni mchemsho visivyo na mafuta. Hongera sana.Yes ni mboga mbona nimezichemsha, nikaweka kipande cha kuku na kipande cha gimbi. Nakula hivi ndio mwisho wa mlo wangu kwa leo.
Malizia chakula usije paliwa 😊 maana chakula cha namna hiyo kinafaa kuliwa kikiwa bado na moto. Utaweza ni PM maana nimeku follow tayari.Ndio tunaanza kuyajenga mapema hivi? Ngoja nishibe kwanza mkuu.