Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
PoapoaHii inaitwa VUVUZELA FAV unaipata Pizza Hut, hii ilikua na Fries , Pizza (Small), Wings na Coca Moja, Bei yake ni 13,000 Shillings tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoapoaHii inaitwa VUVUZELA FAV unaipata Pizza Hut, hii ilikua na Fries , Pizza (Small), Wings na Coca Moja, Bei yake ni 13,000 Shillings tu.
🤗🤗🤗Hodari kweli kweli
Interesting [emoji7][emoji3590][emoji847][emoji847][emoji847]
Haya sasa somo linaanza rasmi Iceberg9
Ila tunajifunza kwa picha zaidi maana hata sina vipimo, kila kitu nakadiria tu [emoji854]
#1.... Mchanganyiko wa unga, chumvi, mafuta kidogo na maji ya uvuguvugu.
View attachment 1625880
[emoji846][emoji846]
#2....Shurti unga ukandike (uwe mlaini though) mpaka uache kung ang'ania mkononi.
View attachment 1625881
#3....Sukuma mara ya kwanza, paka mafuta kidogo kisha uzikunje ili zichambuke.View attachment 1625882
#5....Kaanga kwa moto mdogo kiasi ili ziive vizuri na zisiungue....
View attachment 1625883
#6.... Weka kwenye chombo chenye mfuniko kisha funika ili ziwe laini....
View attachment 1625884
🙂🙂Interesting [emoji7][emoji3590]
Mimi huwa natia na sukari kidogo,,zinanoga sana
Karibu bossUnapata wali na Tunda Embe [emoji39]
Yaani unaweka kasukari kwa mbali tu![emoji846][emoji846]
Naweza imagine zinavyokuwa tamu ila mie vyakula vinavyopaswa kuwekwa vikiwa ma sukari siwezi kula. Mie na-prefer simple zenye chumvi tu.....
Weweeeeee wachaaaaa ohh my dear ahsante mnooo mnooo mnooo my umenifariji, naona pia ulimiss chapati wewe, napenda chapati ikiwa katika muonekano huo haijaungua inavutika inachanikachanika laini ahhhh salaleee, pia chapati iwe served with kuku rojo yenye pilipili ndani au maharagwe ya nazi au pia rojo ya nyama iliyopikia beef masala, au kitimoto rojo, hakika chapati nitazila hizo hata 6, ahasante kwa mafunzo mpishi wangu hodari [emoji3590][emoji847][emoji847][emoji847]
Haya sasa somo linaanza rasmi Iceberg9
Ila tunajifunza kwa picha zaidi maana hata sina vipimo, kila kitu nakadiria tu [emoji854]
#1.... Mchanganyiko wa unga, chumvi, mafuta kidogo na maji ya uvuguvugu.
View attachment 1625880
[emoji846][emoji846]
#2....Shurti unga ukandike (uwe mlaini though) mpaka uache kung ang'ania mkononi.
View attachment 1625881
#3....Sukuma mara ya kwanza, paka mafuta kidogo kisha uzikunje ili zichambuke.View attachment 1625882
#5....Kaanga kwa moto mdogo kiasi ili ziive vizuri na zisiungue....
View attachment 1625883
#6.... Weka kwenye chombo chenye mfuniko kisha funika ili ziwe laini....
View attachment 1625884
Chapati chapati ninazipenda mno sema zinanishibishaga haraka nachukia, yani nikizikalia kuanza kula nakua nawaza kula 6 nikianza kula ni tatu tu nimeshiba,[emoji847][emoji847][emoji847]
Haya sasa somo linaanza rasmi Iceberg9
Ila tunajifunza kwa picha zaidi maana hata sina vipimo, kila kitu nakadiria tu [emoji854]
#1.... Mchanganyiko wa unga, chumvi, mafuta kidogo na maji ya uvuguvugu.
View attachment 1625880
[emoji846][emoji846]
#2....Shurti unga ukandike (uwe mlaini though) mpaka uache kung ang'ania mkononi.
View attachment 1625881
#3....Sukuma mara ya kwanza, paka mafuta kidogo kisha uzikunje ili zichambuke.View attachment 1625882
#5....Kaanga kwa moto mdogo kiasi ili ziive vizuri na zisiungue....
View attachment 1625883
#6.... Weka kwenye chombo chenye mfuniko kisha funika ili ziwe laini....
View attachment 1625884
Here we are na kanyama kwa pembeni [emoji39][emoji39] umenitamanisha mno
Mdogo wangu sukari kila sehemu unaepukaje kwa wagonja wa kisukari, punguza matumizi ya sukariInteresting [emoji7][emoji3590]
Mimi huwa natia na sukari kidogo,,zinanoga sana
Stage za awali weeee ni patashika #2 mambo ya kukanda unga aisee ni mtihani huo, azam walinisaidiaga kipindi walikua wanauza supermarket, kwasasa eneo nilipo sizioni supermarket[emoji847][emoji847][emoji847]
Haya sasa somo linaanza rasmi Iceberg9
Ila tunajifunza kwa picha zaidi maana hata sina vipimo, kila kitu nakadiria tu [emoji854]
#1.... Mchanganyiko wa unga, chumvi, mafuta kidogo na maji ya uvuguvugu.
View attachment 1625880
[emoji846][emoji846]
#2....Shurti unga ukandike (uwe mlaini though) mpaka uache kung ang'ania mkononi.
View attachment 1625881
#3....Sukuma mara ya kwanza, paka mafuta kidogo kisha uzikunje ili zichambuke.View attachment 1625882
#5....Kaanga kwa moto mdogo kiasi ili ziive vizuri na zisiungue....
View attachment 1625883
#6.... Weka kwenye chombo chenye mfuniko kisha funika ili ziwe laini....
View attachment 1625884
Kwenye chapati natia kidogo tu jamaniMdogo wangu sukari kila sehemu unaepukaje kwa wagonja wa kisukari, punguza matumizi ya sukari
Ushahamia mjengoni??Stage za awali weeee ni patashika #2 mambo ya kukanda unga aisee ni mtihani huo, azam walinisaidiaga kipindi walikua wanauza supermarket, kwasasa eneo lilipo sizioni supermarket
Ndiyo tayari mdogo wangu....Ushahamia mjengoni??
Labda zile chapati za maji, ukisema unaweka sukari naweza kukuelewa mdogo wangu, ila hizi za kusukuma mara kumi uweke blue band prestige ili ziwe laini na tamu [emoji39][emoji39][emoji39]Kwenye chapati natia kidogo tu jamani
Ngoja siku ukionana na Mimi nitakupikia uone zinavyokuwa.Labda zile chapati za maji, ukisema unaweka sukari naweza kukuelewa mdogo wangu, ila hizi za kusukuma mara kumi uweke blue band prestige ili ziwe laini na tamu [emoji39][emoji39][emoji39]
Hongera.Ndiyo tayari mdogo wangu....