Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Weweeeeee wachaaaaa ohh my dear ahsante mnooo mnooo mnooo my umenifariji, naona pia ulimiss chapati wewe, napenda chapati ikiwa katika muonekano huo haijaungua inavutika inachanikachanika laini ahhhh salaleee, pia chapati iwe served with kuku rojo yenye pilipili ndani au maharagwe ya nazi au pia rojo ya nyama iliyopikia beef masala, au kitimoto rojo, hakika chapati nitazila hizo hata 6, ahasante kwa mafunzo mpishi wangu hodari [emoji3590]
Nafurahi umefurahi Iceberg9 😊😊

Kwakweli chapati ukizipatia na mboga hizo ulizotaja ni balaa. Yani ukifanya mchezo hata kama uko kwenye diet unajisahau kabisa.

Ni muda nilikuwa sijapika chapata (almost 2 years hivi nikawaka nanunua kwa wamama wanaochomaga asubuhi/jioni 🙈🙈) kwahiyo jana nilikuwa napika kwa wasiwasi 😟😟 ila zilitoka tamu sana na walaji walifurahi 🙂🙂

Kweli kukanda ndio inakuwaga changamoto kwa wengi. Na shughuli yake sio mchezo ndo maana mie hiwa sipikagi chapati if I'm not in a really good mood 🙃🙃

Picha ya mwisho nilitupia ili angalau ule kwa macho 😉😉
 
20201114_154105.jpg
 
Nafurahi umefurahi Iceberg9 [emoji4][emoji4]

Kwakweli chapati ukizipatia na mboga hizo ulizotaja ni balaa. Yani ukifanya mchezo hata kama uko kwenye diet unajisahau kabisa.

Ni muda nilikuwa sijapika chapata (almost 2 years hivi nikawaka nanunua kwa wamama wanaochomaga asubuhi/jioni [emoji85][emoji85]) kwahiyo jana nilikuwa napika kwa wasiwasi [emoji45][emoji45] ila zilitoka tamu sana na walaji walifurahi [emoji846][emoji846]

Kweli kukanda ndio inakuwaga changamoto kwa wengi. Na shughuli yake sio mchezo ndo maana mie hiwa sipikagi chapati if I'm not in a really good mood [emoji854][emoji854]

Picha ya mwisho nilitupia ili angalau ule kwa macho [emoji6][emoji6]
Hujapika chapati for 2yrs ohh nimekufanya upike sio hongera mno, nafurahi kuona umetimiza ahadi yangu, ni muda Hujapika ila zimeonekana nzuri sana sana sana na zenye kuleta hamu,

Napenda chapati kwa kweli ila michakato ya upishi wa chapati ndiyo tabu
 
Back
Top Bottom